Friday, June 21, 2013

MADAWA YA KULEVYA NI NOUMER!!!

jana kwenye bonge la talk show hapa town, THE MBONI TALK SHOW, ishu ilikuwa ni kuhusu madawa ya kulevya . kilichonishangaza ni kuona vijana wazuri nao pia walijiingiza kwenye madawa ya kulevya.
EPUKA MADAWA YA KULEVYA, CHAGUA MAISHA!!!

No comments:

Post a Comment