mwanadada anayetamba na sauti yake kunako Clouds FM's Ala za Roho, Loveness Love Malinzi a.k.a Diva jana alifunguka kwenye XXL wakati wa Hot 3 na Adam Mchomu kuwa atakayemuoa lazima awe na mahari si chini ya millioni 500. je, siku hizi kuolewa ni asset?
No comments:
Post a Comment