Wednesday, July 11, 2012

UMAARUFU NI NYOTA, HATA UZEENI HUJA!!!!

Leo tunacheki watu watatu waliopata umaarufu wasioutegemea na katika nyakati tofaouti. wafuatao ni watu waliopata umaarufu pasipo kutegemea wakati umri ukielekea kuwatupa mkono
1. Babu wa Loliondo
   mzee ambaye inaaminika kuwa alianza kazi ya kuwaponya watu kwa kutumia miti shamba baada ya kuacha uchungaji , hivyo kujizolea umaarufu kwenye nchi ya Jakaya, 255 area code. jina lake kamili ni Ambilikile Mwasapila.

2. Bibi Cheka
bibi ambaye alianza kama utani kwa kuhojiwa tu kwa media akiwa na umri wa miaka 50, lakini baadaye anarock na kutetemesha in area coded 255. kwa sasa bi Cheka yupo na Mkubwa na Wanawe na anahit  na track yake kwa hewa dubbed 'ni wewe'.

No comments:

Post a Comment